IGM yafanyia kazi malalamiko ukiukwaji haki za binadamu mgodini Mwadui
Jumla ya malalamiko 5,573 yahusuyo ukiukwaji wa haki za binadamu katika mgodi wa Almasi Mwadui, mkoani Shinyanga, yameshughulikiwa na Baraza Huru la Usuluhishi (IGM), lililoanza kazi Novemba...